11 Februari, 2026

Shirika la misaada la Uturuki laanzisha mradi wa ufugaji kuku kwa wanawake wa Tanzania

Shirika la TIKA linalenga kuboresha vipato vya wanawake, na kuwajengea uwezo wa kupata vyenye virutubisho vya protini.

8f84513833c897f642a9edfc731fec9062f4afc62561109298761aee5b4ccbb2

11 Februari, 2026

Takriban watu tisa wafariki baada ya kimbunga Gezani kupiga Madagascar

Wakazi wa maeneo hayo ya Toamasina walielezea athari ya kimbunga hicho.

9b0fa43a2001179c4855576a39d1dd9c46b1003c736116c572ade80440aa38d4

11 Februari, 2026

Wanajeshi wa Marekani kutoa mafunzo ya kupambana na ugaidi kwa vikosi vya Nigeria

Jeshi la Marekani linasema litawapa Nigeria taarifa za kijasusi kwa ajili ya mashambulizi ya angani na kuwasaidia katika ununuzi wa silaha.

9c1499253e23a590384a070568a4ca146939c86bc3f73fe59614fac96611b288

11 Februari, 2026

Misri yapitisha mabadiliko ya baraza la mawaziri

Mabadiliko hayo yanaonekana kuweka kipaombele katika uchumi, huku mchumi mwandamizi kutoka Benki ya Dunia Ahmed Rostom akiteuliwa Waziri wa Mipango, na mwenyekiti wa Mamlaka ya Udhibiti wa Fedha Mohamed Farid Saleh akiteuliwa Waziri wa Uwekezaji.

27c897b683d364ae32c72a785dddd7ed40335be8f0dcb0ac2e128d81f19f3b5d

10 Februari, 2026

Mpango wa Marekani kuvuna madini kutoka DRC wapingwa

Rais Felix Tshisekedi alitoa ofa kwa makampuni ya Marekani kuchimba na kuvuna madini yenye thamani ya Dola Trilioni 24, kama sehemu ya mpango wa Marekani kuisaidia DRC kupambana na waasi.

8a16f3ed597b56b9b4045080832d4c56ebe6cb741b4c8836e93dcdde078c1cf3

10 Februari, 2026

Baraza la Mawaziri la Zimbabwe lamuongezea muda wa kukaa madarakani Rais Emmerson Mnangagwa

Mabadiliko hayo yanakuja miezi mitano baada ya chama cha Zanu-PF, kupitisha maazimio ya kumuweka madarakani kiongozi huyo mwenye miaka 83 madarakani, hadi 2030.

ecaca8b486468c3487918d6beacd583a42a71824bce4d920751bf26b5548a744

10 Februari, 2026

Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu

Kati ya mali zitakazotaifishwa ni pamoja na magari 79, vipande 23 vya ardhi, biashara za nyumba, nyumba za makazi pamoja na vituo vya mafuta.

a3f7645b6b663abad3e33a9c48fa9d0bd1063b8dc8aaa089ffbffadf39789aab

10 Februari, 2026

Somalia yaripoti kumuua mshirika wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye

Serikali ya Somalia imeripoti kumuua kiongozi wa kigaidi aliyekuwa mshirika wa karibu wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye.

cba5828215aa75af5fb874123d719965e0e123d61612e5870486055e3e4b9c73

10 Februari, 2026

Moto wateketeza kambi ya wakimbizi Sudan Kaskazini mwa Darfur, wawili wafariki dunia

Moto huo ulikumba makazi ya muda huko Tawila huku msongamano wa watu na uhaba wa misaada ukizidisha mzozo wa kibinadamu wa Sudan.

204b5411a116276dda393db7a640f74173c21e68a47a7342d41009401a73ffca

10 Februari, 2026

Umoja wa wanafunzi Afrika Kusini wataka shule zifungwe kufuatia mgomo wa usafiri wa wanafunzi

Mgogoro wa usafiri wa wanafunzi unakuja huku kukiwa na wasiwasi kuhusu usalama.

27e3ca49fbc6f195f2e2cf835a1a4eb4131603c4a081e3c060858f97ef3abbe5
Inapakia...