Ajali ya barabarani yawajeruhi mawaziri wa Ghana

Msafara wa serikali wagongana njiani kuelekea sherehe ya Tumu College of Education
13 Februari, 2026
Nigeria yaweka tarehe ya uchaguzi wa urais Februari 2027

INEC yatangaza ratiba mpya ya uchaguzi na mageuzi ya uwazi
13 Februari, 2026
Afrika Kusini yaimarisha vita dhidi ya magenge ya uhalifu

Ramaphosa atangaza mpango wa usalama wa kitaifa
13 Februari, 2026
AU yafurahishwa na makubaliano ya kusitisha mapigano DRC

Makubaliano ya Doha yaashiria hatua muhimu ya amani mashariki mwa Congo
13 Februari, 2026

Waziri Mkuu wa Tanzania Mwigulu Nchemba ataka mikakati ya kulinda viwanda vya ndani

Wasioendeleza ardhi kwa miaka mitatu Tanzania kunyang’anywa na serikali

Wataka uwajibikaji kwa familia zilizoathirika migodini

DR Congo yakana kutoa rasilimali zake za madini katika makubaliano ya amani ya Trump

Mchungaji Mackenzie wa Shakahola matatani tena kwa kusababisha vifo vingine 52
11 Februari, 2026
Shirika la misaada la Uturuki laanzisha mradi wa ufugaji kuku kwa wanawake wa Tanzania
Shirika la TIKA linalenga kuboresha vipato vya wanawake, na kuwajengea uwezo wa kupata vyenye virutubisho vya protini.

11 Februari, 2026
Takriban watu tisa wafariki baada ya kimbunga Gezani kupiga Madagascar
Wakazi wa maeneo hayo ya Toamasina walielezea athari ya kimbunga hicho.

11 Februari, 2026
Wanajeshi wa Marekani kutoa mafunzo ya kupambana na ugaidi kwa vikosi vya Nigeria
Jeshi la Marekani linasema litawapa Nigeria taarifa za kijasusi kwa ajili ya mashambulizi ya angani na kuwasaidia katika ununuzi wa silaha.

11 Februari, 2026
Misri yapitisha mabadiliko ya baraza la mawaziri
Mabadiliko hayo yanaonekana kuweka kipaombele katika uchumi, huku mchumi mwandamizi kutoka Benki ya Dunia Ahmed Rostom akiteuliwa Waziri wa Mipango, na mwenyekiti wa Mamlaka ya Udhibiti wa Fedha Mohamed Farid Saleh akiteuliwa Waziri wa Uwekezaji.

10 Februari, 2026
Mpango wa Marekani kuvuna madini kutoka DRC wapingwa
Rais Felix Tshisekedi alitoa ofa kwa makampuni ya Marekani kuchimba na kuvuna madini yenye thamani ya Dola Trilioni 24, kama sehemu ya mpango wa Marekani kuisaidia DRC kupambana na waasi.

10 Februari, 2026
Baraza la Mawaziri la Zimbabwe lamuongezea muda wa kukaa madarakani Rais Emmerson Mnangagwa
Mabadiliko hayo yanakuja miezi mitano baada ya chama cha Zanu-PF, kupitisha maazimio ya kumuweka madarakani kiongozi huyo mwenye miaka 83 madarakani, hadi 2030.

10 Februari, 2026
Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu
Kati ya mali zitakazotaifishwa ni pamoja na magari 79, vipande 23 vya ardhi, biashara za nyumba, nyumba za makazi pamoja na vituo vya mafuta.

10 Februari, 2026
Somalia yaripoti kumuua mshirika wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye
Serikali ya Somalia imeripoti kumuua kiongozi wa kigaidi aliyekuwa mshirika wa karibu wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye.

10 Februari, 2026
Moto wateketeza kambi ya wakimbizi Sudan Kaskazini mwa Darfur, wawili wafariki dunia
Moto huo ulikumba makazi ya muda huko Tawila huku msongamano wa watu na uhaba wa misaada ukizidisha mzozo wa kibinadamu wa Sudan.

10 Februari, 2026
Umoja wa wanafunzi Afrika Kusini wataka shule zifungwe kufuatia mgomo wa usafiri wa wanafunzi
Mgogoro wa usafiri wa wanafunzi unakuja huku kukiwa na wasiwasi kuhusu usalama.




