Sudan yarejea tena IGAD baada ya kuwa nje kwa miaka miwili

Uamuzi wa kurejea IGAD, unafuatia kikao cha mwezi Januari kati ya Katibu Mtendaji wa IGAD, Workneh Gebeyehu, na Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris.
9 Februari, 2026
21 wauwawa katika shambulio la waasi mashariki mwa DRC

Katika tukio hilo, wanamgambo walishambulia vijiji vitatu vya Boti, Isigo na Mambimbi vilivyo Kaskazini mwa Kivu na kuharibu mali pamoja na kuua watu.
9 Februari, 2026
Sudan yarudi kuwa mwanachama wa IGAD baada ya kujiondoa kwa miaka miwili

Khartoum inasema hatua hiyo inakuja baada ya kupata uhakika ya kutoingiliwa na kuheshimiwa kwa mamlaka yake kutoka kwa Shirika la Maendeleo la Serikali za Nchi (IGAD).
9 Februari, 2026
Zaidi ya wahamiaji 40 wafariki katika ajali ya boti pwani ya Libya

IOM inataka kuongezeka kwa ushirikiano wa kimataifa na hatua za ulinzi thabiti, ikijumuisha upanuzi wa njia salama na za kisheria za uhamiaji, ili kupunguza vifo.
9 Februari, 2026

Ghana yamrudisha Balozi wake kutoka Nigeria kwa tuhuma za udanganyifu katika uchaguzi

Somalia na Saudia Arabia zafanya makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi

Tanzania: Dkt. Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia

Young Africans ya Tanzania njia panda kutinga Robo Fainali ya CAF

Wanousky Montana: Ucheshi kama daraja la mshikamano
8 Februari, 2026
Ousmane Majo apaza sauti ya matumaini kwa vijana wa Sahel
Mahojiano ya KayiTV yaangazia ndoto na uthubutu

8 Februari, 2026
Abel Zamani: Muziki kama sauti ya vijana wa Niger
Msanii apaza sauti yake kupitia KayiTV nchini Uturuki

7 Februari, 2026
Wapiganaji wa Sudan RSF wafanya mashambulizi ya droni, kuwaua watu kadhaa ikiwemo watoto
Mashambulizi ya ndege zisizokuwa na rubani yamezidisha hali mbaya kwa watu nchini Sudan, kuwaua ambao walikuwa wameondoka katika makazi yao Kordofan Kaskazini na kuongeza idadi ya waliofariki kwenye vita vinavyoendelea.

7 Februari, 2026
Uingereza yaagizwa kuwalipa fidia dola milioni $572 wachimba migodi wa Nigeria waliouawa 1949
Serikali ya kikoloni ya Uingereza ilipatikana na hatia ya kuwaua wachimba migodi wa Mkaa wa Iva Valley jimbo la Enugu wakati wakiandamana kupinga mazingira mabaya ya kazi.

7 Februari, 2026
UNICEF inasema watoto wasiopungua 20 wameuawa mwezi Januari nchini Sudan
Shirika hilo linaonya kuwa mamilioni ya watu wanahitaji msaada huku njaa kali ikienea maeneo mengine yanayokabiliwa na mapigano

7 Februari, 2026
Watu 13 wauawa katika shambulio lingine la kigaidi kaskazini mwa Nigeria
Walishambulia sehemu moja iliyokuwa na shughuli nyingi sokoni, kusababisha taharuki miongoni mwa wafanyabiashara, wakazi, anasema afisa mmoja

6 Februari, 2026
Maelfu ya Walibya wajitokeza kumzika mtoto wa Gaddafi
Maelfu ya Walibya walijitokeza kwa ajili ya mazishi ya mtoto wa Gaddafi ambaye alipigwa risasi na kuuawa wiki hii.

6 Februari, 2026
AU: Shambulizi la M23 kwenye uwanja wa ndege ni ‘tukio la kigaidi’
Tume ya Umoja wa Afrika imeliita shambulio la hivi karibuni katika uwanja mmoja wa ndege nchini DRC , kama “tukio la kigaidi”.

6 Februari, 2026
Somalia yaidhinisha makubaliano ya baharini na Uturuki
Makubaliano haya ya baharini yanafungua ukurasa mpya wa ushirikiano kati ya Somalia na Uturuki, yakilenga kuimarisha bandari na biashara salama.

6 Februari, 2026
Kagame: Mgogoro na DRC si kwa ajili ya madini
Rwanda imekanusha tuhuma za Umoja wa Mataifa kwamba inaunga mkono kundi la M23.




